Sunday 19 January 2014

Uhaba wa maji TZ




Tatizo la Upatikanaji wa Maji safi na salama nchini Tanzania ni moja ya mada zinazojadiliwa sana punde zinaposikika katika Makala ya Haba na Haba redioni.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba maji ni bidhaa adhimu kwa maisha ya binadamu na upatikanaji wake imekuwa ni shida kwa maeneo mengi nchini humo.
Haba na Haba Tv ilisafiri mpaka mkoani Tanga wilayani pangani kuona namna wananchi wa huko wanavyohangaika kila kuchao kutafuta maji.

SOURCE: BBC

Saturday 11 January 2014

Mkasi - SO8E01 With Mchungaji Lusekelo

Moto umezuka katika ghala ya kuifadhia dawa Dar es Salaam.

How the former Rwandan spymaster was assassinated

By THE CITIZEN | Tuesday, January 7   2014 at  11:10
Patrick Karegeya was found dead in a Johannesburg hotel. PHOTO | BBC 

Letter from Africa: On prophets' predictionsBy BBC

| Saturday, January 11   2014 at  10:11
Prophets are popular in many African countries. PHOTO | BBC 

Israel's ex-PM Ariel Sharon dies


Jeremy Bowen looks back at Ariel Sharon's political and military career

Wasanii Bongo Fleva na shoo za sebuleni Ulaya


‘Mijimama’ inavyoingiza waosha kucha, miguu katika hatari ya kuambukizwa VVU