Tuesday 30 July 2013

TRUE-KEEP IT IN MIND

"Don't be at the same place next year as you are right now. There is so much opportunity to learn. We have no excuse to not improve".

Monday 29 July 2013

Sim card excise tax unfair, says ESRF expert


28th July 2013
                            
Finance Minister Dr William Mgimwa

Kenya now Africa’s ‘guinea pig’


Posted  Wednesday, July 24  2013 at  22:09
In Summary
I am a hopeless technophile, so you can understand why I am less troubled. I think if the laptops project was only about school kids and laptops, then it wouldn’t be worth it.

Community police under fire for soliciting bribes


Since roads have been clogged in many parts of Dar es Salaam and traffic police officers have been inadequate in dealing with the situation community police have been deployed in some areas but they are being accused of being corrupt. PHOTO | FILE 

Politicians censured at peace, security forum



Posted  Monday, July 29  2013 at  08:24
In Summary
There was wide consensus that most politicians were self-centred and solely interested in enriching themselves instead of serving the people

Wataka Katiba imwondolee Rais kinga kushtakiwa


Na Mussa Mwangoka, Mwananchi  (email the author)

Posted  Alhamisi,Julai25  2013  saa 12:58 PM
Kwa ufupi
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Katiba Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, wamesema wakati wakichangia maoni yao kwenye Rasimu ya Katiba hiyo iliyowasilishwa kwao na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Jarida la kimataifa lawatuhumu vigogo kuhujumu sera ya dawa

        

Dawa Mbalimbali na vipodozi vilivyokamatwa na TFDA 

Thursday 25 July 2013

WASOMI: Tanzania inahitaji miaka 240 kutokomeza umasikini

 Mwanachi, 2013.
Morogoro. Wasomi nchini wamesema Tanzania inashindwa kupiga hatua ya maendeleo kutokana na Serikali kuwa na sera na mipango mingi ambayo inashindwa kuitekeleza.
Walisema kabla ya kukamilika kwa mpango mmoja, unaanzishwa mwingine hali ambayo inafanya kila jambo kufanyika nusunusu.

Marekani yaitaka Rwanda iache kuwasaidia M23

Bomu lanaswa ziara ya Papa Francis nchini Brazil

Watu wawili walikamatwa nchini Brazil kwa madai ya kuwa vinara wa maandamano ya kupinga gharama za ziara ya Papa Francis nchini humo juzi. 

Mbowe aivimbia polisi

 

Profesa Baregu aonya majungu mjadala wa rasimu ya katiba

   

Sitta amtaka CAG achunguze ufisadi wa Sh8 bil ujio wa marais

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa siku tatu wa Baraza la Vijana (TYC) wa kujadili Rasimu ya Katiba Mpya, Dar es Salaam jana. 

Wednesday 24 July 2013

Tanzania katika skendo ya Matumizi mabaya ya pesa za misaada kutoka Norway



 Na Dk



Katika gazeti maarufu hapa Norway almaarufu kama "Aftenposten" ambalo usomwa na watu wengi nchini hapa katika ukurasa wake wa kwanza limetoa picha ya "Mafia Island" ambacho ni kisiwa mmoja wapo cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kichwa cha habari cha gazeti hilo kilikuwa " Errors have been detected in other ocean aid case"

Ol Doinyo Lengai,

Tanzania is home to Ol Doinyo Lengai, an active volcanoOl Doinyo Lengai volcano

Rwandan 'Catholics' detained over anti-Kagame protest


                    Paul Kagame (August 2010)  
                    Paul Kagame's critics accuse him of being authoritarian

RIP OUR BOYS

South Sudan's Salva Kiir sacks entire cabinet


                               Salva Kiir in Ethiopia on 26 May  
Salva Kiir has apparently faced increasing pressure from government colleagues

Israel ready to help TZ in gas

     

Machumu named the new Mwananchi editorial boss

Mr Bakari Machumu joined MCL in 2004. He has a wealth of experience in print journalism, having worked in editorial and managerial capacities with various national publications. PHOTO | FILE 
By The Citizen Reporter  (email the author)

Uhusiano wa Kenya na nchi za kigeni wazidi kuyumba


              Uhuru Kenyatta
Rais Uhuru Kenyatta (kulia) akiwa na Naibu Rais William Ruto baada ya kuwasili kutoka London, Uingereza Mei 9, 2013. Picha/PPS 

NY mayoral candidate Anthony Weiner admits more lewd photos


          
"Other texts and photos were likely to come out... today they have"

Wahimizwa kuhubiri amani,upendo


Na Goodluck Eliona, Mwananchi  (email the author)

Posted  Julai20  2013  saa 22:11 PM
Kwa ufupi
Ni viongozi wa dini zote nchini ili waumini wao waishi kwa kupendana na furaha, pamoja na kuhimiza mshikamano unaotishiwa na uvunjifu wa amani kila kukicha.

Chadema: Hakuna kusubiri mjadala wa Serikali tatu

       
Makamu wa Rais,Dk Mohamed Bilal akizindua rasimu ya katiba mpya 

NBC yawatoa hofu wananchi kuhusu akaunti ya Kiislamu


            
Baadhi ya wateja wa Benki ya NBC, wakifuturu katika hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Picha na Joseph Zablon. 

RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA MAKAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Na  Mwandishi wetu.
Julai 23,2013.
Jana, Rais J. Kkikwete alikutana na viongozi wa chama cha makampuni ya simu na kuzungumza kwa kina juu ya pendekezo la simu kadi. Pendekezo hili limezua gumzo na sintofahamu miongoni mwa wananchi wengi na wengi wao wakiwa wa kipatao cha chini.
Inaonekana serikali inaelekea kushindwa kutetea hoja yake ya kuanzisha kodi hiyo. Ina imeripotiwa kuwa Raisi ametoa wito wa wadau wote kuliangalia upya swala hili kwa upana na kwa haraka.

Tuesday 23 July 2013

Muundo wa Muungano: Tunatafuta Haki, Usawa au Ustawi?

July 22, 2013
By
                                    Union

Millions of Sim cards are 'vulnerable to hack attack'


                                               Sim card  
                   Mr Nohl said one in eight Sim cards might be vulnerable

Royal baby: Thousands celebrate at Buckingham Palace


              
A formal bulletin confirming the birth was displayed at Buckingham Palace

JK at farewell for fallen soldiers

                

Chadema’s youth wing to agitate for the young

Chadema youth wing secretary general Deogratias Munishi briefs journalists in Dar es Salaam yesterday about a six-day International Young Democrat Union for Sub-Sahara Africa forum scheduled for the end of this month. Right is a member of the forum organising committee, Ms Esther Wasira. 

‘Tindikali’ aliyomwagiwa bosi HSC yachunguzwa



Na Bakari Kiango  (email the author)

Posted  Jumatatu,Julai22  2013  saa 21:23 PM
Kwa ufupi
Hadi sasa hakuna mtu yeyote anayeshikiliwa kutokana na tukio hili huku polisi wakiendelea na msako mkali wa kuwabaini wahusika

Mbunge mstaafu amtaka Kagame aombe radhi TZ

 
Na Sosthenes Nyoni, Mwananchi  (email the author)

Kwanini kuna kigugumizi mapambano dawa za kulevya

      

Agnes anayeshikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na kilo 150 za dawa za kulevya Afrika Kusini.Picha na Maktaba. 

Mahakama yaridhia Lwakatare kwenda India kwa matibabu

Mkurugenzi wa Usalama wa Chadema, Willifred Lwakatare akizungumza kuhusu hali ya ugonjwa wake akiwa katika Tasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) jijini Dar es Salaam jana.Picha na Fidelis Felix 

ICC sasa yaonya mauaji ya Darfur

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakiwa wamebeba jeneza moja kati ya saba ya miili ya askari wa Tanzania waliokuwa katika jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa (Unamid) baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Jeshi (Airwing) Dar es Salaam jana.Picha na Fidelis Felix 
Na Mwandishi Wetu, Mwananchi  (email the author)

Mjane wa askari aliyefia Darfur atupiwa virago

Amina Juma 
Na Julieth Ngarabali, Mwananchi  (email the author)

Monday 22 July 2013

UAE pardons Norwegian woman jailed in Dubai after reporting rape

DUBAI – The United Arab Emirates has pardoned a Norwegian woman who was sentenced to jail for illicit sex after she reported being raped by a colleague while on a visit to Dubai, the Norwegian foreign minister said on Monday.

Kauli tata za Chikawe Uchaguzi Mkuu 2015

“Tunaweza kuwatumia wajumbe walewale wa Tume ya Katiba lakini safari hii tukawachukua wale wa Tanzania Bara pekee wakashiriki katika kuandaa Katiba hiyo.” Mathias Chikawe 
Na Mwandishi Wetu, Mwananchi  (email the author)

Important lessons for Tanzania from corruption and devolution in Kenya

                   

 
By Charles Onyango Obbo  (email the author)

Purported letter from Taliban to Malala Yousafzai: Why we shot you

By Chelsea J. Carter and Saima Mohsin, CNN
updated 11:10 AM EDT, Thu July 18, 2013
Watch this video
Taliban pens letter to Malala

Investment in mining drops by over 20pc

  By Veneranda Sumila The Citizen Reporter  (email the author)

Norwegian woman: I was raped in Dubai, now I face prison sentence

By Nicola Goulding and Phil O'Sullivan, CNN
updated 4:41 PM EDT, Sun July 21, 2013
Watch this video
Woman reports Dubai rape, faces prison
STORY HIGHLIGHTS
  • Marte Deborah Dalelv says she was sentenced to prison in Dubai after reporting she was raped
  • The Norwegian alleges she was attacked by a colleague after a night out on work trip
  • Norway's foreign minister tells UAE her conviction "is contrary to fundamental human rights"
  • Dubai police and UAE authorities have not responded to CNN's requests for comment
Dubai (CNN) -- Norwegian interior designer Marte Deborah Dalelv has spoken out after being handed a 16-month prison sentence in Dubai -- after she went to police to report she had been raped by a colleague.

Ghana kuongeza umri wa kuolewa

18 Julai, 2013 - Saa 09:25 GMT

                                 
Mtakwimu Mkuu wa serikali ya Ghana, Bi Philomena Nyarko, amesema umri halali wa mwanamke kuolewa unapaswa kuongezwa kutoka miaka 18 hadi 23.
Bi. Nyarko amesema, hatua hiyo itawafanya wanawake kujiandaa vyema kiakili na kimwili kuzaa watoto, na kwamba, itapunguza ongezeko la idadi ya watu nchini Ghana kwa kati ya 15% hadi 20%.

Askari akamatwa kwa kudhalilisha maiti DRC

19 Julai, 2013 - Saa 14:14 GMT

                                     
Wanajeshi wa DRC wakitoa ulinzi katika eneo la Kanyarucinya, yapata kilomita 12 kutoka mji wa Goma.
Afisa mmoja wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametiwa nguvuni baada ya kuchafua maiti za wapiganaji wa waasi nchini humo.
Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa DRC, Lambert Mende, ameiambia BBC kwamba Luteni Solomo Bangala alizuiliwa jana Alhamisi na maafisa wa kijeshi baada ya mapigano kuzuka kati ya jeshi na waasi wa M23 katika eneo la mashariki karibu na mji wa Goma.

Siri yafichuka wizi wa kompyuta polisi

Na Frederick Katulanda, Mwananchi  (email the author)
Posted  Julai20  2013  saa 22:26 PM
Kwa ufupi
Katika wizi huo wa benki ambao ulifanyika kwenye mashine za ATM mbalimbali na watuhumiwa watatu kunaswa Februari 10, mwaka huu saa 6 usiku wakiiba kwenye ATM za NMB,Tawi la PPF Plaza, Polisi walinasa vitu vingi vya watuhumiwa hao ikiwa ni pamoja na kompyuta mbili ambazo zinadaiwa kuibwa kituoni hapo juzi.

Tozo za simu sasa kuangaliwa upya

Na Ibrahim Yamola, Mwananchi  (email the author)
Posted  Julai20  2013  saa 22:30 PM
Kwa ufupi
Ni zile za laini ya simu zilizopitishwa na Bunge kama moja ya vyanzo vya kodi nchini na kupingwa na wengi.

Dar es Salaam. Serikali imekubali kupitia mawazo na maoni yaliyotolewa na Umoja wa Wamiliki wa Kampuni za Simu Nchini (MOAT), kuhusu kufutwa kwa tozo ya kodi ya laini za simu ‘Simcard tax’ ya Sh1000 kutokana na kulalamikiwa na wadau wa sekta ya mawasiliano.

Mmiliki wa Home Shopping Centre amwagiwa tindikali usoni


               
Duka moja wapo la Home Shopping Centre lililopo jijini Dar es Salaam 
Na Fidelis Butahe na Bakari Kiango, Mwananchi  (email the author)

PICHA: MIILI YA ASKARI 7 WA JWTZ WALIOUAWA DARFUR ILIPOWASILI DAR

Wanajeshi wa JWTZ wakibeba jeneza lenye mmoja wa askari wenzao saba waliouawa kwa shambulio la ghafla wakiwa katika Jeshi la Ulinzi wa Amani la Umoja wa Mataifa mjini Darfur, jumamosi iliyopita. Miili hiyo iliwasili leo Jumamosi, tarehe 20, saa 10.30 jioni kwenye Uwanja wa Ndege wa Kikosi cha Anga cha JWTZ.

MNYIKA AKOSWA NA BOMU, Lilirushwa na polisi aliposimama


 
VITUKO na matukio ya hatari kwenye mikutano ya CHADEMA vimeendelea kushika kasi ambapo jana Mbunge wa Ubungo, John Mnyika alinusurika kupigwa na bomu la machozi lililorushwa na polisi waliokuwa wakizuia kufanyika mkutano ulioitishwa na chama hicho.

Friday 19 July 2013

How girl, 14, received news of father’s death in Darfur

 
                          By Geoffrey Nyang’oro,Katare Mbashiru  (email the author)

DRC troops step up offensive against M23

 

A Congolese army tank fires a shell towards an M23 position in Kanyarucinya, around 10km north of Goma, in the east of the Democratic Republic of the Congo on Wednesday. PHOTO | AFP 

MB leaders still in detention

By  Xinhua  (email the author)
Posted  Thursday, July 18  2013 at  21:29
In Summary
They are accused of inciting violence outside the Republican Guards House in Cairo and Nahdah Square in Giza, which resulted in at least 60 deaths last week.


Cairo, Thursday. Egypt’s prosecution has extended the detention of eight Muslim Brotherhood (MB) leading figures for 15 days pending investigations over charges of inciting violence and killings, official news agency MENA reported.

MY TAKE ON THIS : Give Arusha chance to open a fresh chapter


                                          
                                                                    Peter Nyanje 

EAC moves closer to single currency

 
                                    By Zephania Ubwani  (email the author)

Sherehe ya Mandela hospitalini Medclinic

  

Raia wa Afrika Kusini akiwa na bango la kumtakia kheri ya siku ya kuzaliwa kwa Rais Mstaafu wa nchi hiyo, mjini Polokwane nchini humo. Picha na Mtandao

Serikali yazidiwa nguvu kodi ya simu

           

                                 Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa 

Mbunge wa Bumbuli akataa kupokea mradi wa maji

Na Mwandishi Wetu  (email the author)

Posted  Alhamisi,Julai18  2013  saa 22:46 PM
Kwa ufupi
Ilipangwa kujenga tanki lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita 135,000, lakini mkandarasi aliamua kujenga tangi lenye uwezo wa kuhifadhi lita 90,000 ili kuuunganisha na tanki la zamani lenye uwezo huohuo lakini mkandarasi hakuunganisha matanki hayo jambo ambalo ni kosa’’ alisema..


Tanga. Katika hatua inayoashiria kuchoshwa na utekelezaji usioridhisha wa miradi, Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto, January Makamba amekataa kuupokea mradi wa maji uliojengwa katika Halmashauri Mpya ya Bumbuli kutokana na kile alichokieleza kuwa umejengwa chini ya kiwango.
Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bumbuli, Makamba, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia alisema kuwa mradi huo wenye thamani ya zaidi ya Sh400 milioni haukutekelezwa ipasavyo pamoja na kutengewa fedha nyingi na wahisani ambao ni Benki ya Dunia.
Mradi huo umepangiwa kuwanufaisha, wanakijiji katika vijiji vinne vya Bumbuli Mission, Bumbuli Kaya, Mboki na Kwamanolo na ulikuwa uanze kutoa huduma ya maji kuanzia Kijiji cha Kwamanolo.
“Ilipangwa kujenga tanki lenye uwezo wa kuhifadhi maji lita 135,000, lakini mkandarasi aliamua kujenga tangi lenye uwezo wa kuhifadhi lita 90,000 ili kuuunganisha na tanki la zamani lenye uwezo huohuo lakini mkandarasi hakuunganisha matanki hayo jambo ambalo ni kosa’’ alisema..
Alisema fedha zilizotumika na thamani halisi ya mradi ni tofauti na kwamba ni vigumu kwake kuamini kwamba mradi huo utatekelezwa kama ulivyokusudiwa awali.
Alisema ni afadhali asipokee kwanza mradi huo ili taratibu zingine za kuchunguza zifanyike kama ni kweli mradi huo utasambaza maji ya kutosha.

chanzo: Mwananchi

Thursday 18 July 2013

UKWELI WA MASOGANGE WAZIDI KUBAINIKA

BAADA ya kukamatwa na dawa za kulevya nchini Afrika Kusini, msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva, Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, ukweli umeibainika kwamba dawa walizokamatwa nazo ni za kutengenezea dawa za kulevya, ambazo hazipatikani nchini na hazina matumizi yoyote.

Maofisa wa Wizara ya Fedha kizimbani

            

 
Na James Magai,Hadija Jumanne  (email the author)

Posted  Jumatano,Julai17  2013  saa 21:31 PM
Kwa ufupi
Wanakabiliwa na mashtaka ya ufisadi wa mamilioni ya fedha za matangazo kwenye vyombo vya habari, wengine wawili wasakwa

Salim: Mandela ni nuru ya dunia

 
Na George Njogopa  (email the author)

Posted  Jumatano,Julai17  2013  saa 21:51 PM
Kwa ufupi
Kusema kweli Mandela ni mtu wa aina yake… alipitia mazingira magumu yaliyoambatana na mateso makubwa, lakini pamoja na yote hayo, alisimama na kuhubiri umoja uliofanikisha kujenga taifa la Afrika Kusini hadi leo

Kisumo: Mbowe acha kuitumbukiza nchi yetu kwenye uvunjifu wa amani

                  

“Unaposema huna imani na JWTZ, Polisi wetu unataka kuanzisha vikundi vya kukulinda tafsiri yake ni kwamba unataka kuanzisha vikundi vyenye sare hii si sahihi,” Peter Kisumo 
Na Daniel Mjema, Mwananchi  (email the author)

Meya Arusha awavimbia Chadema

   

                                       Meya wa Jiji la Arusha, Gaudance Lyimo (CCM) 

Wednesday 17 July 2013

Mswada wa ndoa kuwafaidi wanawake Kenya

                             
Mswaada unaolenga kuoanisha sheria za ndoa nchini Kenya umewasilishwa bungeni.Baadhi ya mabadiliko yaliopendekezwa katika mswada huo ni pamoja na kuhalalisha ndoa za wake wengi mbali na kuziimarisha sheria zote saba za ndoa.
Mapendekezo mengine ambayo huenda yakazua hisia kali ni yale ya kugawa mali iliochumwa katika ndoa pamoja na adhabu ya wanaume ambao huvunja ahadi zao za kuwaoa akina dada.