Thursday 15 July 2010

Wanyamapori ni rasilimali kwa watanzania wote, lazima tuilinde

Enzi za Mababu: ukiwa porini unalazimika kuwasha moto kwa kupekecha vijiti. Hata tunakutana na mwenyeji wa pori hili, mzee wa kimasai na tunaomba kibiriti ili tuwashe moto. Jibu tulilopata hatukuamini, mara tukapewa moto kwenye fungu la kinyesi cha punda. Upekechaji ulichukua takribani dakika tano tu.

Short Grass Plains on Serengeti.

Nasera Rock. The biggest rock on the Serengeti Plains, it is a nice place for camping safaris.

Eland - The largest antelope, on the serengeti plains