Thursday 22 July 2010

Usafiri wetu ni ule ule, ila aina ya gari hubadilika kutokana na mazingia na hali ya barabara


Safari yangu ilikuwa ndefu sana, hapa Naingia Mbeya kutokea Tabora

Hivi ndivyo tunavyosafiri tukiwa makwetu, Bora kufika.

Thursday 15 July 2010

Wanyamapori ni rasilimali kwa watanzania wote, lazima tuilinde

Enzi za Mababu: ukiwa porini unalazimika kuwasha moto kwa kupekecha vijiti. Hata tunakutana na mwenyeji wa pori hili, mzee wa kimasai na tunaomba kibiriti ili tuwashe moto. Jibu tulilopata hatukuamini, mara tukapewa moto kwenye fungu la kinyesi cha punda. Upekechaji ulichukua takribani dakika tano tu.