Monday 7 April 2008

MKUTANO MKUU KATIKA PICHA - 29.03.2008

Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa TASAO, 2008 katika picha:

Sehemu ya Wajumbe wa mkutano

Wasimamizi wa uchaguzi wakitoka mkutanoni

Uchaguzi ukiendelea

Wasimamizi wa uchaguzi wakisoma taratibu za uchaguzi

Baadhi ya wajumbe wa mkutano

Baadhi ya wajumbe wa mkutano

BAADA YA MKUTANO MKUU

Mkutano mkuu ulifanyika vizuri na kwa mahudhurio ambayo kwa kweli yaliridhisha sana. Kwa kifupi agenda zote zilijadiliwa vizuri na kukubaliwa na wajumbe.

Baadhi ya maamuzi ya msingi ni:
1. Tarehe ya mahafali ya kuwaaga wanaomaliza muda wao wa masomo ilikubaliwa iwe ni: 9.may.2008

2. Uchaguzi wa viongozi wapya. Wafuatao walichaguliwa kuwa viongozi wa TASAO kwa mwaka 2008/2009

Nafasi Majina
Rais - John Chaluklu
Makamu - Rais Rose Matete
Katibu - Jane Bakahwemama
Mweka hazina - C. Lwiza
Accademic+ Recreation - Ernest Mjigo na Br. Nikuli
Afya na Ustawi - Said Bakari na Stela Bitanyi
Wajumbe Kamati ya fedha - Beatrice Chinguwile, Jelly Jerry
Wajumbe TASAO - Hezron Nonga na Julitha John

Uongozi uliotangulia unawshukuru wajumbe wote kwa ushirikiano wenu na unawaomba muendeleze ushirikiano zaidi kwa viongozi wapya!