Monday 3 December 2007

ADA YA KILA MUHULA

Salamu kwa wote!

Mnakumbushwa kuhusu kuwakilisha ada za uanachama za kila muhula kwa mhazini wetu. Kama hutaweza fanya hivyo, waweza mpatia kiongozi yeyote na mchango wako utafika mahala unapohitajika kufika.

Ada ni 200NOK

Ahsante kwa ushirikiano wako!

Mhazini - TASAO