Wednesday 5 September 2007

SHUKRANI KWA FARAJA ZENU

Hi TASAO!


Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wote kwa kunifariji katika kipindi hiki kigumu cha kufiwa na mama yangu mzazi ambaye aliaga dunia tarehe 07.08.2007saa tano usiku ghafla, nawashukuru wote kwa mkono wa pole na nawaombea kwa mwenyezi mungu awazidishie saba mara sabini.
Sisi tulimpenda sana mama yetu mpendwa lakini mungualimpenda zaidi, jina lake lihimidiwe na mungu ailazemahali pema roho ya mama yetu mpendwa.
Nawatakia wote masomo mema na kazi njema, mwenyezi Mungu awatangulie katika kila jambo mnalofanya.

Mzee wa mawe,

James Apolkarpi

Mob#: +255 754 588706

Email: james2001tz@ yahoo.com
03.09.2007