Friday 20 April 2007

SEMA USIKIKE!

Wasomi wenzetu wa Ki-tanzania huko nyumbani ndo hivyo wamepewa masharti lukuki kabla ya kurejeshwa vyuoni kuendelea na masomo. Sie aaghh tunapeta na shule ughaibuni, una maoni gani katika hili. Bofya hapa kwa habari zaidi(http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/4/20/habari1.php au http://dailynews-tsn.com/habarileo/page.php?id=1391)