Wednesday 18 April 2007




Ndugu zetu, wadogo zetu na rafiki zetu vijana wa ki-Tanzania ndo hivyo tena wamefukuzwa chuo kwa muda usiojulikana, kisa "BUMU". Kama wanafunzi ambao kwa namna moja ama nyingine tumepitia baadhi ya vyuo hivyo tunasemaje kutokana na tukio hili?