Friday 20 April 2007

SEMA USIKIKE!

Wasomi wenzetu wa Ki-tanzania huko nyumbani ndo hivyo wamepewa masharti lukuki kabla ya kurejeshwa vyuoni kuendelea na masomo. Sie aaghh tunapeta na shule ughaibuni, una maoni gani katika hili. Bofya hapa kwa habari zaidi(http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/4/20/habari1.php au http://dailynews-tsn.com/habarileo/page.php?id=1391)

Wednesday 18 April 2007




Ndugu zetu, wadogo zetu na rafiki zetu vijana wa ki-Tanzania ndo hivyo tena wamefukuzwa chuo kwa muda usiojulikana, kisa "BUMU". Kama wanafunzi ambao kwa namna moja ama nyingine tumepitia baadhi ya vyuo hivyo tunasemaje kutokana na tukio hili?
NADHANI WADAU WA UDSM WATAPAKUMBUKA MAHALI HAPA! MDIGRII NA VIMBWETE VYAKE