Saturday 3 February 2007

WANA-TASAO WAKIMSIKILIZA KATIBU

Hii ni sehemu ya wana-tasao wachache waliohudhuria kikao cha leo, hapa wanaonekana wakimsikiliza katibu (hayupo pichani) akiwabrief yaliyojiri kwenye kikao kilichopita. kikao kingine ni tar 24 mwezi wa pili, habari zaidi zitatolewa baadaye.